×
New Times Tanzania New Times Tanzania is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services.
New Times Tanzania

INTER MILANI YATINGA FAINALI KWA USHINDI WA 7-6

Na Mwandishi wetu.

Klabu ya Inter Milan ya Italy imefanikiwa kutinga hatua ya Fainali ya ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) baada ya kupata ushindi wa magoli 7-6 dhidi ya FC Barcelona ya Hispania.

Mchezo huo ambao ulilazimika kuchezwa kwa dakika 120 baada ya sare ya magoli 3-3 ndani ya dakika 90 baada ya kuwa na upinzani mkali kwa timu zote mbili.

Inter Milan itakutana na mshindi kati ya PSG au Arsenal ambao mchezo wao utapigwa hapo kesho.

#NTTupdates