Na Mwandishi wetu.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshiriki katika uzinduzi wa daraja la J.P Magufuli eneo la Kigongo-Busisi Mkoani Mwanza lenye urefu wa kilomita 3 ambapo hadi kukamilika kwakwe limegharimu zaidi ya kiasi cha Shilingi Bilioni 700.
Daraja hilo la J.P Magufuli linatajwa kwenda kuchochea uchumi kwa wakazi wa Mkoa wa Mwanza ,Mikoa ya kanda ya Ziwa na nchi Jirani.
#NTTUpdates