×
New Times Tanzania New Times Tanzania is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services.
New Times Tanzania

MUDA WA KUBEBA MAKOMBE KWA AZAM FC

Na Mwandishi wetu.

Matajiri wa Chamazi Azam FC imemtambulisha rasmi Kocha wao mpya Florent Ibenge (63) raia wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo kuwa Kocha wao mkuu kwa mkataba wa miaka 2 kukinoa kikosi hicho.

Ibenge ambaye ni mwalimu mwenye wasifu mkubwa barani Afrika akizifundisha vilabu vikubwa kama RS Berkane, As Vita, Al Hilal Omdurman ya Sudan pamoja na Timu ya Taifa ya DRC ameahidi kufanya vizuri ndani ya Azam FC huku akizigusia vilabu vya Kariakoo ambao ni Simba SC na Yanga SC.

#NTTupdates