×
New Times Tanzania New Times Tanzania is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services.
New Times Tanzania

CHINO KIDD MSANII BORA CHIPUKIZI TUZO ZA TMA

Na Mwandishi wetu.

Msanii wa Bongo Fleva Chino Kidd ameshinda tuzo ya Msanii Bora chipukizi kwenye tuzo za TMA usiku wa kuamkia leo huku akiwashinda wasanii wenzie ambao ni Appy – Watu FekiXouh – Lalala Yammi – NamchukiaTuzo hizo zimefanyika kwenye ukumbi wa Superdom Masaki, Dar es Salaam, Tanzania na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali na wasanii.

#NTTupdates