×
New Times Tanzania New Times Tanzania is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services.
New Times Tanzania

ATAKAEVURUGA UCHAGUZI MKUU 2025 ATAKIONA – IGP WAMBURA

Na Mwandishi wetu.

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Camillius Wambura, ameeleza kuwa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba Mwaka huu, Jeshi hilo limejipanga kuhakikisha unafanyika Kwa Amani na utulivu.

Akiwa Jijini Dar es salaam wakati wa kufunga kozi ya maofisa na wakaguzi wasaidizi Wa Polisi Waliomaliza Mafunzo Yao Katika Chuo Cha Taaluma ya Polisi Kurasini, IGP Wambura amesema Jeshi hilo halitamvumilia Mtu yeyote atakayevuruga Hali ya Amani na utulivu Katika kipindi chote Cha uchaguzi.

#NTTUpdates